Sunday, May 20, 2012

CHUO CHA SLADS BAGAMOYO WAPEWA CHANJO...

Vitali Maembe akigawa CHANJO YA RUSHWA kwa wanafunzi wa SLADS BAGAMOYO

Mwl. Mwalubawa akifanya utambulisho kwenye onesho maalumu la Chanjo ya Rushwa  Chuoni kwake SLADS Bagamoyo.



 ulimwengu wa teknolojia ulijirihirisha, wengi walichukua kumbukumbu katika simu zao za mikononi.
ulimwengu wa teknolojia ulijirihirisha, wengi walichukua kumbukumbu katika simu zao za mikononi.

Monday, May 7, 2012

..CHANJO KWA KILA RIKA

Vitalis Maembe akitoa CHANJO YA RUSHWA kwa wakazi wa Mti Mwiba-Masasi.

Hadi watoto nao wanastahili kupewa CHANJO YA RUSHWA, hapa ni Lizabon-songea

Vitali akiwa anahamasisha jambo ndani ya Masasi.

"si barabara zote ni mbaya...ila kwingine ni VIONGOZI TU"




Tuesday, May 1, 2012

..HARAKATI ZA CHANJO YA RUSHWA ZAPENYEZA HADI VIJIJINI

                                             Chanjo ikitolewa kwa wana wa SONGEA

                                               ............................elimu ni ukombozi

                         wananchi wa rika mbalimbali wakipata nasaha za maisha kupitia CHANJO..

                           hapa ni kilwa kivinje, bado tunasisitiziwa hatari ya ugonjwa huu, ukimwi bado



'huu ni wakati pekee ambao tunaweza kuikoa nchi yetu kwa sauti na kalamu zetu