Friday, March 23, 2012

..CHANJO KUELEKEA KUSINI..

 Timu ya CHANJO inatarajariwa kusafiri jumapili kuelekea mikoa ya KUSINI MWA TANZANIA kukamilisha mzunguko wa maonesho ya muziki nchi nzima.

The Spirits watakuwa wakiimba na kutoa nafasi ya majadiliano kuhusu namna ya kuidhibiti rushwa.

Maeneo yatakayofikiwa ni pamoja na Mtwara, Masasi, Lindi, Songea na Mahenge na baada ya maonesho hayo itarudi Bagamoyo kuendelea na Chanjo Maalum kwa vyombo vya habari na Vyuo Vikuu.


Mapambano ya Ukombozi yanaendelea.

No comments:

Post a Comment