Tuesday, October 18, 2011

...ILIVYOKUWA MTONI MTONGANI-DAR

Vitali Maembe na The Spirits wakigawa Chanjo kwenye onyesho lilifanyika Mtoni Mtongani,Dar Es Salaam

"Watoto ni Kizazi Cha Kesho na Wanastahili Chanjo"...Watoto pia walipewa Chanjo, na watu wazima pia walikuwepo katika kushiriki Onyesho la ugawaji wa Chanjo kutoka kwa Vitali Maembe na The Spirits.

No comments:

Post a Comment